Kikao 1

Karibuni kwa Zume
Pakua

Utakuwa na uwezo wa kufuata kwenye PDF ya kikao kwa kipindi hiki, lakini tafadhali hakikisha kwamba kila mwanachama wa kundi Lako ana nakala iliyochapishwa ya vifaa kwa ajili ya vikao vya baadaye.

Pakua Kitabu cha Mwongozo cha Zume

Kikundi cha maombi (dakika 15)
Anza kwa maombi. Uelewa wa kiroho na mabadiliko hauwezekani bila Roho Mtakatifu. Fanya muda kama kikundi kumwalika aongoze juu ya kipindi hiki.

Tazama na Jadili (dakika 15)
TAZAMA
Mungu hutumia watu wa kawaida kufanya vitu rahisi kutekeleza athari kubwa. Tazama video hii jinsi jinsi Mungu hufanya.
JADILI
Ikiwa Yesu alitaka kila mmoja wa wafuasi wake kutii Agizo lake Kuu, kwa nini wachache tu ndio huwafanya wanafunzui?

Tazama na Jadili (dakika 15)
TAZAMA
Mwanafunzi ni nini?Na ni jinsi gani unafanya mmoja?Unafudishaje mfuasi wa Yesu kufanya kile alituambia katika agizo lake-kitii amri zakre zote?
JADILI
  1. Unapofikiria kuhusu kanisa, kitu gani huja mawazoni?
  2. Kuna utofauti gani kati ya picha hiyo na kinachoelezwa kwenye video kama "Kanisa vivi hivi"?
  3. Unafikiri ni gani ingekuwa rahisi kuzidisha na kwa nini?

Tazama na Jadili (dakika 15)
TAZAMA
Tunapumua ndani. Tunapumua nje. Tunaishi. Kumua Kiroho ni hivyo, pia.
JADILI
  1. Kwa nini ni muhimu kujifunza na kusikia na kutambua sauti ya Mungu?
  2. Je, kusikia na kumuitikia Bwana ni kama kupumua? Kwa nini au kwa nini sivyo?

Sikiliza na soma kwa karibu (dakika tatu)
SOMA

S.O.A.P.S. Kusoma Bibilia

Kusikia kutoka kwa Mungu mara kwa mara ni kipengele muhimu katika uhusiano wetu wa kibinafsi Naye, na katika uwezo wetu wa kuwa watiifu kushiriki katika kile anachofanya karibu nasi.

Tafuta sehemu ya usomaji Biblia ya "S.O.A.P.S." katika Kitabu cha Mwongozo cha Zume na usikilize maelezo ya sauti.

Sikiliza na soma kwa karibu (dakika tatu)
SOMA

Makundi ya Uwajibikaji

Biblia inatuambia kwamba kila mfuasi wa Yesu siku moja atawajibika kwa kile tunachofanya na kusema na kufikiria. Makundi ya uwajibikaji ni njia nzuri ya kujiandaa!

Pata sehemu ya "Vikundi vya Uwajibikaji" katika kitabu cha Mwongozo wa Zúme, na usikilize sauti hapa chini.

Mazoezi (dakika 45)
GAWANYA
Mjigawanye kwa vikundi vya watu wawili au watatu wa jinsi moja.
SHIRIKISHA
Tumia muda wa dakika 45 zijazo kufanya kazi pamoja kupitia maswali ya uhasibu-Orodhesha mawili kwa “Makundi ya Uhasibu” katika sehemu yako Kitabu cha Mwongozo cha Zúme.

KUANGALIA MBELE

Hongera! Umekamilisha Kipindi cha 1.

Hapo chini ni hatua za kujiandaa kwa kipindi kijacho.
TII
Anza kufanya mazoezi ya S.O.A.P.S. Kusoma Biblia kati ya sasa na mkutano wako ujao. Zingatia Mathayo 5-7, soma angalau mara moja kwa siku. Weka jarida la kila siku kwa kutumia S.O.A.P.S. muundo .
SHIRIKISHA
Tumia muda kuuliza Mungu ni kundi lipi la uhasibu atahitaji wewe kuanzia kwa kutumia kama kifaa ambacho umejifunza katika awamu hii.Shirikisha jin ala mtu huyu kwa kikundi kabla uende.Mjulishe mtu huyo kuhusu kuaanza kwa kundi la uhasibu na vikao vya kila juma.
OMBA
Omba kwamba Mungu atakusaidia kumtii na kumkaribisha kufanya kazi ndani yako na wale walio karibu nawe!
#MradiwaZume
Chukua picha kutoka kwa S.O.A.P.S.Jifunze Bibilia na uishirikishe katika mitandao ya kijamii.